ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ibada ya Jumapili KKKT-DKMs Usharika wa Duga

  • Print
Details
Published: 09 January 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 09/01/2022 ameongoza Ibada ya jumapili katika Usharika wa Duga Jimbo la Pwani.awali Baba Askofu aliweka jiwe la msingi katika nyumba ya mtumishi.Liturgia katika Ibada hiyo iliongozwa na mkuu wa Jimbo la Pwani Mch.Thadeus A. Ketto.

Ibada ilihudhuriwa na Wachungaji, Wainjilisti,Mashemasi,Kwaya,Washarika pamoja na watu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Usharika wa Duga. 

 

 

Hits: 14722

Ibada ya Jumapili Usharika wa Mbaramo Mtaa wa Mlesa

  • Print
Details
Published: 02 January 2022

 

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt.Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 02/01/2022 ameongoza Ibada ya Jumapili katika Usharika wa Mbaramo Mtaa wa Mlesa, Imekuwa siku ya Baraka tele kwa washarika wa Usharika wa Mbaramo mtaa wa Mlesa. Ibada hiyo ilikuwa na matukio mbalimbali ikiwemo uwekwaji wa jiwe la msingi katika nyumba ya mtumishi pamoja na kufunguliwa kwa mnara wa kengele.

Hits: 14404

Read more ...

Ibada ya mwaka mpya 2022 Usharika wa Vuga

  • Print
Details
Published: 01 January 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ametoa wito kwa watunzi wa nyimbo,mashairi, na sanaa mbalimbali kuendelea kutumia neno Kuu la Dayosisi linalo toka katika kitabu cha Zaburi ya 32:8 katika utunzi wao.

Wito huo ameutoa leo tarehe 01/01/2022 kwenye Ibada ya mwaka mpya iliyofanyika katika Usharika wa Vuga jimbo la Kusini.Baba Askofu Mbilu amesema kuwa bado ipo sababu ya kuendelea kufundishwa na kuoneshwa njia katika utumishi na hivyo neno kuu la mwaka jana litaendelea kutumika katika mwaka huu.

Kwa upande mwingine Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki imeona ni vema mwaka huu wa 2022 uwe mwaka wa wanawake kwani wanawake ni jeshi kubwa na imara hivyo wanao uwezo wa kuweka mipango mbalimbali na endelevu ili kuiinua na kuijenga Dayosisi.

Wito unaletwa kwa wanawake wote wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kuupokea mwaka huu kuanzia kwenye ngazi za Mitaa, Sharika, Majimbo hadi ngazi ya Dayosisi.ni matumaini ya uongozi wanawake wataweka mipango mbalimbali ili kuenzi mwaka huu.

 

Hits: 14883

Heri ya mwaka mpya 2022

  • Print
Details
Published: 01 January 2022

 

 

Hits: 14278
  1. Askofu Dkt Msafiri Joseph Mbilu afanyamazungumzo na Mch. P. Butiku toka Sinodi rafiki ya Southeastern Pennsylvania Synod
  2. siku ya baraka tele kwa washarika wa Usharika wa Mlalo Jimbo la Kaskazini
  3. Malaika akawaambia, Msiogope; kwa kuwa mimi ninawaletea habari njema ya furaha kuu itakayokuwa kwa watu wote
  4. Salamu za Krismas za Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu

Page 92 of 137

  • 87
  • 88
  • 89
  • ...
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • ...
  • 96

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese