ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ibada ya mazishi ya mzee magombya

  • Print
Details
Published: 22 December 2021

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ameongoza Ibada ya mazishi ya marehemu Mzee Enock Nickodem Magombya Leo tarehe 22/12/2021 katika Usharika wa Hale Jimbo la Tambarare.

Hits: 16811

Read more ...

Askofu Mstaafu Joseph Jali awashukuru wana KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

  • Print
Details
Published: 19 December 2021

Nyumba hubarikiwa ukaamo,Yesu,uliye mpenzi wa moyo,wakukaribishapo kwa furaha,uliye mgeni wa heshima kuu.mioyo yetu inapokupenda na macho Yote yakungojapo, midomo yote ikuulizapo, na watu wote wanapokutii.

Hits: 14886

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Kanisa Kuu Lushoto

  • Print
Details
Published: 12 December 2021

 

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Dkt Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 12/12/2021 ameongoza Ibada ya Kipaimara katika Usharika wa Kanisa Kuu (Cathedral) Lushoto,ambapo jumla ya vijana 86 wamebarikiwa na watano kati yao walibatizwa.

 

Kulingana na kalenda ya matukio ya Dayosisi Baba Askofu Dkt. Mbilu anahitimisha matukio haya huku jumla ya vijana walio barikiwa ikiwa ni   1888 na Wakristo watu wazima waliobazitwa kwa mwaka huu ni 286.

Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akimbatiza mmoja wa vijana walio batizwa 

Baba Askofu amewashukuru wana KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa matendo hayo Mkuu yaliyo tendeka katika kipindi hiki.Baba Askofu ameendelea kusisitiza yeye akiwa  mmoja wa wadhamini wa mali za Dayosisi atahakikisha kwa kushirikiana na viongozi wengine mali za Dayosisi hazichezewi na zinabaki kuwa salama.

Kwa upande mwingine Askofu Dkt. Msafiri Joseph mbilu kwa niaba ya Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskani Mashariki amemtambulisha Mch. Godfrey Tahona Walalaze kuwa sasa ndiye Katibu Mkuu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskani Mashariki. Hii nikutokana na kuthibitishwa na Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskani Mashariki aliyo keti hivi kalibuni.Mwingine aliye thibitishwa na Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ni CPA  Peter Singano ambaye sasa rasmi ndiye Mkurugenzi wa Fedha na utawala  KKKT-DKMs

 

Mch. Michael Mlondakweli Kanju,Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs (Kushoto), Mch. Godfrey Tahona Walalaze ,Katibu Mkuu KKKT-DKMs,katika picha na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.

Katika Risala ya vijana waliobarikiwa kipekee wamemshukuru Askofu Mstaafu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskani Mashariki.Mzee Mathayo Joseph Jali kwa moyo wake na kuona kwamba Watoto wake, wajukuu na vitukuu vyake vinapata elimu,ameonesha juhudi hizo kutokana na maadhimisho ya miaka 60 ya ndoa yake na Bibi Sara Jali kwamba kipaumbele cha maadhimisho hayo ameamua kuweka alama katika Shule ya  BANGALA Lutheran Junior Seminary inayo milikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskani Mashariki.

 Askofu Mstaafu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskani Mashariki.Mzee Mathayo Joseph Jali  pamoja na Bibi Sara Jali

Vijana hao wamewashukuru walimu wao waliowafundisha mafundisho sahihi ya neno la Mungu katika kipindi chote cha miaka miwili,Mch . Edward Msocha,PW Eveline Shekindo , Mwj. Naftari Siafu na Ester Mahimbo.Darasa hilo pia lilikabidhiwa kwa Mch. Anderson Kipande,hadi leo vijana hao wanapo barikiwa darasa hilo limekuwa chini ya Mch.Emmanuel Mweta na Mch. Charles Lumwe.

Mafundisho hayo sahihi waliyo yapata vijana hao yamepelekea kukiri mbele ya Baba Askofu kuwa watakuwa vijana wenye nidhamu, watiifu sasa wanapo ingia katika rika la watu wazima baada ya kubarikiwa kwao na kuongezwa kuwa kamwe hawata yumbishwa na mafundisho potofu ya Neno la Mungu yaliyo ikumbu Dunia katika kipindi hiki.

 

 

 

Hits: 16532

Taarifa ya ukaguzi wa hesabu za Dayosisi yakabidhiwa Mbele ya Halmashauri Kuu ya KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 10 December 2021

Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akipokea   taarifa ya Tume Maalum ya kupitia taarifa ya ukaguzi wa hesabu za Dayosisi kutoka kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa tume hiyo W.S Msagati, taarifa hiyo imekabidhiwa  mbele ya Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki leo tarehe 10/12/2021.

Hits: 13837
  1. Tanzia-Baba mzazi wa Askofu , Dkt. Alex Gehaz Malasusa amefariki
  2. Heri ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.
  3. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Mtonga , Youths Confirmation at Mtonga Lutheran Parish
  4. Mhandisi Robert Kitundu Katibu Mkuu mpya KKKT

Page 94 of 137

  • 89
  • ...
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • ...
  • 96
  • 97
  • 98

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese