ELCT North Eastern Diocese
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi aitembelea KKKT-DKMs
- Details
Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu,akisalimiana na Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe.mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi za Mkao Makuu ya KKKT-DKMs Lushoto Tanga.
- Hits: 551
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Halmashauri Kuu ya KKKT-DKMs watembelea kituo cha Irente Children's Home pamoja na Irente School for the Blind
- Details
Tarehe 28/11/2024 Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki walipata nafasi ya kutembelea kituo cha Malezi bora ya Watoto Irente (Irente Children's Home) pamoja na Shule ya Watoto wasioona (Irente School for the Blind) ambapo walipata nafasi yakuona miradi mbalimbali ya ujenzi ikiwemo ukarabati wa Majengo pamoja na ujenzi wa Green House.
- Hits: 1307
Askofu Dkt. Mbilu apigakura kuchagua viongozi kwenye uchaguzi wa serikali za mtaa
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amepiga kura kwa ajili ya kuchagua viongozi kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kituo cha kupigia kura cha UWALU kilichopo Wilayani Lushoto Mkoani Tanga tarehe 27 Novemba, 2024.
- Hits: 1540
Page 1 of 123