ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu Poland

  • Print
Details
Published: 15 March 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu yupo katika ziara ya kikazi Nchini Poland ambapo anahudhuria mkutano wa kamati ya Ibada na Muziki ya Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani (LWF) unaofanyika kwenye mji wa Krakow kwaajili ya kuandaa Mkutano Mkuu utakaofanyika Nchini Poland mwaka 2023.

Hits: 14391

Read more ...

Dean Michael Kanju awashukuru washarika wa Makorora

  • Print
Details
Published: 13 March 2022

Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Michael Mlondakweli Kanju amewashukuru Washarika wa Makorora na kipekee wana Dayosisi kwa ujumla kwa jinsi wanavyoendelea kuuombea uongozi na Dayosisi.

Hits: 15752

Read more ...

Ibada ya mazishi ya Bibi,Neema Silas Jengo

  • Print
Details
Published: 12 March 2022

Naye atafuta kila chozi katika macho yao,wala mauti haitakuwepo tena,wala kilio,wala maumivu hayatakuwepo tena, kwa kuwa mambo ya kwanza , yamekwisha kupita UFUNUO 21:4.

Hits: 16151

Read more ...

Ufunguzi wa mkutano wa wachungaji wanawake na mashemasi KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 10 March 2022

Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Michael Mlondakweli Kanju, amewapongeza na kuwashukuru wachungaji na mashemasi wanawake wa KKKT-Dayosisi ya kaskazini mashariki kwa huduma nzuri wanayofanya ndani ya Dayosisi,sharika na vituo mbalimbali walivyopangiwa.

Hits: 15728

Read more ...

  1. Uzinduzi wa mwaka wa wanawake 2022,KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
  2. Kampeni ya Onesha Upendo kwa Vitendo-Utume Fm
  3. Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu atoa maagizo kwa Wakuu wa Majimbo.
  4. Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu atoa wito juu ya utunzaji wa mazingira

Page 87 of 137

  • 82
  • 83
  • 84
  • ...
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • ...
  • 91

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese