ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, Jimbo la Kusini

  • Print
Details
Published: 20 January 2022

 

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu   leo tarehe 20/01/2022 amekuwa na ziara ya kikazi katika Jimbo la Kusini na ameongoza kikao kazi kilicho jumuisha Wachungaji, Mashemasi pamoja na wainjilisti wa KKKT-DKMs Jimbo la Kusini pamoja na mambo mengine yaliyo jadiliwa katika kikao hicho kilichofanyika katika Usharika wa soni Baba Askofu amewakumbusha watumishi hao kuendelea kufanya kazi kwa uwazi na umakini mkubwa katika kila jambo wanalo lifanya.

Hits: 14150

Read more ...

Ibada ya mazishi ya Mchungaji mstaafu Anthony Danga Mndeme

  • Print
Details
Published: 19 January 2022

 

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 19/01/2022 ameongoza Ibada ya mazishi ya Mchungaji mstaafu Anthony Danga Mndeme katika Usharika wa Mamba jimbo la Kusini.

Hits: 19906

Read more ...

Ibada ya mazishi ya Mama Damaris Appelesy Ketto

  • Print
Details
Published: 18 January 2022

Askofu wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu,leo tarehe 18/01/2022 ameongoza Ibada ya mazishi ya  marehemu Mama. Damaris Appelesy Ketto,mama mzazi wa Mkuu wa Jimbo la Pwani, Mch Thadeus A. Ketto ,

Ibada hiyo imefanyika katika Usharika wa Mtonga jimbo la tambarare.marehemu Mama. Damaris Appelesy Ketto aliitwa mbinguni jioni tarehe 14/01/2022. BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.

Hits: 13816

Pumzika kwa amani Mama, DAMARIS APPELESY KETTO

  • Print
Details
Published: 15 January 2022

Naye atafuta kila chozi katika macho yao,wala mauti haitakuwepo tena,wala kilio,wala maumivu hayatakuwepo tena, kwa kuwa mambo ya kwanza , yamekwisha kupita UFUNUO 21:4.

Katibu Mkuu wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Godfrey Tahona Walalaze kwa niaba ya uongozi wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki anasikitika kutangaza kifo cha Mama. Damaris Appelesy Ketto,mama mzazi wa Mkuu wa Jimbo la Pwani, Mch Thadeus A. Ketto ,kilichotokea jana Ijumaa tarehe 14/01/2022.Ibada ya mazishi itafanyika siku ya Jumanne tarehe 18/01/2022 katika Kanisa la KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Usharika wa Mtonga - Korogwe. Uongozi unatoa pole kwa Mkuu wa Jimbo la Pwani, Mch. Thadeus A. Ketto, ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo. BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe

Hits: 14781
  1. Ibada ya Jumapili KKKT-DKMs Usharika wa Duga
  2. Ibada ya Jumapili Usharika wa Mbaramo Mtaa wa Mlesa
  3. Ibada ya mwaka mpya 2022 Usharika wa Vuga
  4. Heri ya mwaka mpya 2022

Page 91 of 137

  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • ...
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94
  • ...

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese