ELCT North Eastern Diocese
Uzinduzi wa mwaka wa wanawake 2022,KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ameipongeza Idara ya Wanawake na Watoto kwa mipango mizuri iliyojiwekea katika mwaka wa wanawake 2022 ambapo amesema kuwa endapo itasimamiwa kwa umakini italeta tija kwenye Idara hiyo na Dayosisi kwa Ujumla.
- Hits: 15922
Kampeni ya Onesha Upendo kwa Vitendo-Utume Fm
- Details

Zoezi la kuchangia damu lililo andaliwa na kituo cha redio Utume Fm kinachomilikiwa na KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kimefanikiwa kukusanya chupa 25 katika Wilaya ya Lushoto mjini.
Hili linajiri wakati ambapo upungufu unashuhudiwa katika benki ya damu Wilayani Lushoto.
- Hits: 14505
Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu atoa maagizo kwa Wakuu wa Majimbo.
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewapa maagizo wakuu wa majimbo kusimamia shughuli nzima ya zoezi la kuhakikisha kila kijana anachangia bati moja katika ujenzi wa shule ya Bangala Lutheran Junior Seminary pia amewataka vijana watumie tamasha hilo kuunganisha mahusiano yao kwa kunyanyuana kiuchumi sambamba na kurudi kwa Mungu.
- Hits: 15872
Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu atoa wito juu ya utunzaji wa mazingira
- Details

Mungu aliuumba ulimwengu mzuri na kutupa jukumu la kuutunza bila kujali dini yoyote kwani yakitokea madhara yanayo sababishwa na uharibifu wa mazingira huadhiri jamii nzima hayo yamesemwa na Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu wakati wa ufunguzi wa mkutano wa 49 wa kujenga mahusiano mema kati ya Dini za Kiyahudi, Kikristo na Kiislamu( JCM), uliofunguliwa leo tarehe 22/02/2022 kwenye ukumbi wa Benjamin Mkapa SEKOMU.(JCM) ilianzishwa mnamo mwaka 1960, washiriki wakiwa ni Wakristo,Wayahudi na Waislam,lengo likiwa ni kuiasa jamii kutunza mazingira na kupambanua changamoto ya mabadiliko ya tabia ya Nchi.
- Hits: 15179
Page 88 of 137

