ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Tamati ya juma la vijana Kanisa Kuu Lushoto

  • Print
Details
Published: 20 February 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt Msafiri Joseph Mbilu amewapongeza vijana wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kipekee vijana wa Kanisa Kuu Lushoto kwa kazi kubwa na nzuri waliyo ifanya kwa njia ya nyimbo na walio ongoza Ibada
pongezi hizo amezitoa leo tarehe 20/02/2022 kwenye Ibada ya sikukuu ya Vijana huku akimpongeza mratibu wa Vijana na ukwata wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Alice Kopwe kwa maandalizi mazuri yanayoondelea kuelekea tamasha la Vijana na Askofu litakalo fanyika tarehe 25-27/02/2022.

Hits: 14959

Read more ...

Mkuu wa Wilaya ya Lushoto atoa wito kwa viongozi wa dini

  • Print
Details
Published: 10 February 2022

Mkuu wa Wilaya ya Lushoto Mhe. Kalisti Lazaro ametoa wito kwa kamati ya amani ya viongozi wa Dini mbalimbali (Interfaith) kuendelea kuwa mabalozi wa kulinda amani na upendo kwa kuhubiri katika nyumba zao za Ibada ili kuzuia matukio ya ukatili pamoja na mauwaji ambayo yamekuwa yakishamiri maeneo mbalimba Nchini sambamba na kuwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa sensa ambayo inatarajiwa kufanyika mwezi wa nane mwaka huu.

Hits: 16788

Read more ...

Ibada ya kuingizwa kazini,Katibu Mkuu,Mkurugenzi wa fedha pamoja na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki

  • Print
Details
Published: 06 February 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt Msafiri Joseph Mbilu ameongoza Ibada ya kuingizwa  kazini  kwa Katibu Mkuu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Godfrey Tahona Walalaze, Mkurugenzi wa fedha na utawala CPA Peter John Singano pamoja na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya KKKT-DKMs, leo tarehe 06/02/2022 katika Usharika wa Korogwe.Katika kikao cha Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki  iliyoketi Utondolo Lushoto tarehe 9-10/12/2021 ilimthibitisha Mch. Godfrey Walalaze Kuwa Katibu Mkuu na CPA Peter John Singano kuwa Mkurugenzi wa fedha na Utawala.

Hits: 15606

Read more ...

Semina elekezi

  • Print
Details
Published: 05 February 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 05/02/2022 ameongoza semina elekezi kuelekea siku ya kuingizwa kazini kwa Katibu Mkuu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Godfrey Tahona Walalaze,Mkurugenzi wa fedha na Utawala wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, CPA Peter John Singano pamoja na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki hapo kesho tarehe 06/02/2022.

Hits: 14164

Read more ...

  1. Warsha  ya usambazaji  mpango mkakati wa KKKT (2022-2026)
  2. Ujenzi wa Bwalo la chakula kuanza mara moja Bangala
  3. Ibada ya mazishi ya Bibi, Mary Shebila
  4. Mwendelezo wa ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu

Page 89 of 137

  • 84
  • ...
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • ...
  • 91
  • 92
  • 93

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese