
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 09/01/2022 ameongoza Ibada ya jumapili katika Usharika wa Duga Jimbo la Pwani.awali Baba Askofu aliweka jiwe la msingi katika nyumba ya mtumishi.Liturgia katika Ibada hiyo iliongozwa na mkuu wa Jimbo la Pwani Mch.Thadeus A. Ketto.


Ibada ilihudhuriwa na Wachungaji, Wainjilisti,Mashemasi,Kwaya,Washarika pamoja na watu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Usharika wa Duga.





