ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Warsha  ya usambazaji  mpango mkakati wa KKKT (2022-2026)

  • Print
Details
Published: 01 February 2022

 

KKKT katika kutimiza wajibu wa kuwahudumia watu wake imekuwa ikitekeleza shughuli mbalimbali tangu kuanzishwa kwake kupitia mipango mbalimbali,mojawapo ya mipango hiyo ni mpango wa 2015 - 2026 ambao umefanyiwa tathmini na kupata mpango mpya wa 2022- 2026.

Hits: 15354

Read more ...

Ujenzi wa Bwalo la chakula kuanza mara moja Bangala

  • Print
Details
Published: 25 January 2022

Askofu Mstaafu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mzee Joseph Jali ametoa wito kwa wana KKKT-DKMs,ndugu, jamaa na marafiki waliopo ndani na nje ya Dayosisi kuingia kazini ili kukamilisha ujenzi wa bwalo la chakula katika shule ya Bangala Lutheran Junior Seminary ulio simama kwa takribuni miaka 20.

Hits: 15018

Read more ...

Ibada ya mazishi ya Bibi, Mary Shebila

  • Print
Details
Published: 24 January 2022

Nikasikia sauti  kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho wapate kupumzika baada ya taabuzao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nayo.

Hits: 14842

Read more ...

Mwendelezo wa ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu

  • Print
Details
Published: 21 January 2022

 

 Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu   leo tarehe 21/01/2022 amekuwa na mwendelezo wa ziara ya kikazi katika Jimbo la tambarare na ameongoza kikao kazi kilichofanyika katika Usharika wa Korogwe, kikao hicho kilijumuisha Wachungaji, Mashemasi pamoja na wainjilisti wa KKKT-DKMs Jimbo la tambarare.

 

Hits: 13348
  1. Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, Jimbo la Kusini
  2. Ibada ya mazishi ya Mchungaji mstaafu Anthony Danga Mndeme
  3. Ibada ya mazishi ya Mama Damaris Appelesy Ketto
  4. Pumzika kwa amani Mama, DAMARIS APPELESY KETTO

Page 90 of 137

  • 85
  • 86
  • 87
  • 88
  • 89
  • 90
  • 91
  • 92
  • 93
  • 94

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese