ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ibada ya Kipaimara KKKT-DKMs,Usharika wa Mshihwi

  • Print
Details
Published: 21 May 2022

Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju leo tarehe 21/05/2022 ameongoza Ibada iliyokuwa na tendo la kuwabariki vijana wa kipaimara katika Usharika wa Mshihwi Kanda ya Mto Umba Jimbo la Tambarare. Liturgia iliongozwa na Mkuu wa Jimbo hilo Mch. Frank Richard Mntangi.

Hits: 15273

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa maswala ya kimataifa wa Dayosisi ya Lund

  • Print
Details
Published: 14 May 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiwa katika mazungumzo na Katibu wa maswala ya kimataifa wa Dayosisi ya Lund- Sweden Bi. Marie Körner, mara baada ya kuwasili Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Leo tarehe 14 Mei,2022.

Hits: 14531

Read more ...

SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA PASAKA,"MWIMBIENI BWANA WIMBO MPYA" (KANTATE DOMINO)

  • Print
Details
Published: 14 May 2022

SIKU YA BWANA YA 4 BAADA YA PASAKA

JUMAPILI YA TAR. 15 MEI, 2022

NENO KUU:

"MWIMBIENI BWANA WIMBO MPYA" (KANTATE DOMINO)

"Kila mwenye pumzi na Amsifu Bwana"

ZAB.147:7--11

7 Mwimbieni Bwana kwa kushukuru, Mwimbieni Mungu wetu kwa kinubi.8  Huzifunika mbingu kwa mawingu, Huitengenezea nchi mvua, Na kuyameesha majani milimani.9  Humpa mnyama chakula chake, Wana-kunguru waliao.10  Hapendezwi na nguvu za farasi, Wala hairidhii miguu ya mtu.11  Bwana huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.

SIKU YA BWANA YA NNE INAYOFUATA PASAKA

 Mwimbieni Bwana wimbo mpya (Kantate Domino)

 AYA YA SIKU

"Mwimbieni Bwana wimbo mpya, kwa maana ametenda mambo ya ajabu" Zab.98:1

 SALA

Mwenyezi Mungu, wewe peke yako waweza kuzitawala nia za waaminio kwa umoja; Uwajalie watu wako kupenda uliyoyaamuru na kutaka uliyoyaahidi, ili katika dunia hii isiyo na raha, mioyo yetu istarehe huko kwenye furaha ya kweli. Kwa Yesu Kristo, Mwana wako na Bwana wetu. Amen.

SOMO LA 1: 2 The. 2:13--17

 13 Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu sikuzote kwa ajili yenu, ndugu mliopendwa na Bwana, kwa kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo mpate wokovu, katika kutakaswa na Roho, na kuiamini kweli;14aliyowaitia ninyi kwa injili yetu, ili kuupata utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.15 Basi, ndugu, simameni imara, mkayashike mapokeo mliyofundishwa, ama kwa maneno, ama kwa waraka wetu.16 Na Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe, na Mungu Baba yetu, aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema, 17awafariji mioyo yenu, na kuwafanya imara katika kila neno na tendo jema.

SOMO LA 2 MAHUBIRI:

Zab.104:33--35

33Nitamwimbia Bwana maadamu ninaishi; Nitamshangilia Mungu wangu nikiwa hai;34 Kutafakari kwangu na kuwe kutamu kwake; Mimi nitamfurahia Bwana. 35 Wenye dhambi waangamizwe katika nchi, Watendao ubaya wasiwepo tena. Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana.

Hits: 15432

Ziara ya kikazi Nchini Italy, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu

  • Print
Details
Published: 10 May 2022

KATIKA PICHA Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akiwa Nchini Italy na Torre Pellice ambapo viongozi mbalimbali wa dini wamekutana na kuhudhuria kozi ya uongozi iliyokuwa inahusu maswala ya Uhamiaji na tamaduni katika jamii (migration and multicultural society) iliyo ratibiwa na Kanisa la Waldensian (Waldensian Church) Kanisa mwanachana wa UEM Nchini ujerumani (partner church of the UEM in Germany).

Hits: 13241
  1. LUSHOTO ILIVYO SIMAMA KUSHUHUDIA ASKOFU DKT. MSAFIRI MBILU AKIINGIZWA KAZINI
  2. Taarifa ya mchango wa kukabiliana na deni la Dayosisi kwa mwezi April
  3. Uchimbaji wa madini waanza Vuga Kihitu
  4. Ibada ya kuingizwa kazini kwa msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Mkoani Mara

Page 83 of 137

  • 78
  • 79
  • ...
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84
  • ...
  • 86
  • 87

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese