ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mratibu wa Mawasiliano wa KKKT, atembelea Makao Makuu ya KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 19 November 2021

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amekutana na kufanya mazungumzo na Mratibu wa Mawasiliano wa KKKT, ndugu Erick Adolph ambae ametembelea Makao Makuu ya KKKT-DKMs leo tarehe 19 Novemba, 2021.

Hits: 14889

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Vuga Jimbo la Kusini

  • Print
Details
Published: 14 November 2021

Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;Nitakushauri,jicho langu likikutazama.

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt.Msafiri Joseph Mbilu amewataka viongozi walio pewa dhamana ya kusimamia mali za Dayosisi  kuendelea kuwa mawakili wema kwa kufanya kazi kwa uamainifu, uadilifu na uwazi kwakuwa wameaminiwa na yeyeto atakayefanya tofauti  lazima ataulizwa.

Hits: 16846

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kana, Youths Confirmation at Kana Lutheran Parish

  • Print
Details
Published: 07 November 2021

“……Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji ya uzima.”

Leo tarehe 07/11/2021 imekuwa siku ya baraka kwa washarika wa Usharika wa Kana, Jimbo la Pwani, ambapo vijana wapatao 33 walibarikiwa na mmoja kati yao alibatizwa.

Hits: 17215

Read more ...

TANZIA-

  • Print
Details
Published: 08 November 2021

"Naye atafuta kila chozi katika macho yao,wala mauti haitakuwepo tena,wala kilio, wala maumivu hayatakuwepo tena, kwa kuwa mambo ya kwanza  yamekwisha kupita " UFUNUO 21:4.

 Kaimu Katibu Mkuu wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Godfrey Tahona Walalaze kwa niaba ya Uongozi wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki anasikitika kutangaza kifo cha Mama Mzazi wa  Mch.Juliana Mahundo, Bi. Raheli Mahundo, kilichotokea  tarehe 05/11/2021.

 Ibada ya mzishi itafanyika siku ya Jumatatu tarehe 08/11/2021katika mtaa wa Mindu, Usharika wa Kwabada-Muheza.

 Uongozi unatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo. BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na libarikiwe.

Hits: 14657
  1. Pumzika kwa amani Mzee Tamilwai Agustino Baruti
  2. Ibada ya Kipaimara KKKT-DKMs,Usharika wa Irente
  3. IBADA YA KIPAIMARA KKKT-DKMs, Usharika wa Hale.
  4. Maadhimisho miaka 60 ya Kwaya Kuu Lushoto

Page 99 of 137

  • 94
  • ...
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • ...
  • 101
  • 102
  • 103

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese