ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kabuku Youths Confirmation at Kabuku Lutheran Parish

  • Print
Details
Published: 18 October 2021

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt Msafiri Joseph Mbilu amewataka vijana waliopokea kipaimara kusimama imara katika mafundisho sahihi ya neno la Mungu waliyofundishwa kupitia katekisimo ndogo ya Martin Luther, na kamwe wasiyumbishwe na dunia wala mtu yoyote bali wabaki katika Kanisa na zaidi sana waache yale yasiyo mpendeza Mungu,ili mwisho wa maisha haya pamoja na wengine waweze kuwa na sehemu ya kuurithi uzima wa milele.

Hits: 16306

Read more ...

Ibada ya Jumapili Kanisa Kuu Lushoto

  • Print
Details
Published: 17 October 2021

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amezindua na kushirikisha Washarika nakala ya taarifa ya ukaguzi wa hesabu za Dayosisi zilizokuwa zikisubiriwa kwa hamu kubwa na Waumini wa KKKT-DKMs.

Hits: 16248

Read more ...

Mahafali ya 32 ya kidato cha nne Shule ya Sekondari ya Lwandai

  • Print
Details
Published: 16 October 2021

Leo tarehe 16 Oktoba 2021 kumefanyika mahafali ya 32 ya kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Lwandai inayomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, ambapo wanafunzi 41 (wavulana 23 na wasichana 18 ) wamehitimu. Mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa ni Mhasham Askofu, Dkt Msafiri Joseph Mbilu aliyewakilishwa na Msaidizi wa Askofu , Mchungaji Michael Mlondakweli Kanju. Mahafali hayo yalifana sana yakipambwa na vishirikisho mbalimbali toka kwa wahitimu na wanafunzi wengine.

Hits: 19148

Read more ...

Kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa

  • Print
Details
Published: 14 October 2021

Kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwl. Julius Kambarage Nyerere, 1922-1999 (Nyerere Day)

Hits: 16137
  1. Ibada ya sikukuu ya Mavuno KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Jimbo la Pwani, Usharika wa Kana.
  2. Ibada ya mazishi ya Mchungaji Mstaafu Elihudi Efrahimu Sekumbo
  3. Tangazo la nafasi ya kazi
  4. Mkutano Mkuu wa vijana KKKT-DKMs

Page 102 of 137

  • 97
  • 98
  • 99
  • ...
  • 101
  • 102
  • 103
  • 104
  • ...
  • 106

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese