ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, kufungua warsha ya wake wa wachugaji na mashemasi

  • Print
Details
Published: 25 November 2021

Hits: 15858

Majibu juu ya zilipo fedha za utekelezaji wa miradi mbalimbali ndani ya Dayosisi kupatikana.

  • Print
Details
Published: 24 November 2021

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt.  Msafiri Joseph Mbilu kama msimamizi wa mali za Dayosisi kupitia halmashauri Kuu ambayo yeye ni mwenyekiti wake amesema kuwa watahakikisha majibu ya zilipo fedha za utekelezaji wa miradi mbalimbali ndani ya Dayosisi ambazo hazikutumika kama ilivyokusudiwa yanapatikana.

Katika kufanikisha hilo amesema kuwa watumishi mbalimbali ikiwemo wachungaji waliokuwa wakiwajibika kusimamia fedha hizo wataulizwa hata ikibidi kwa ukali.

Hits: 15402

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Mgwashi Jimbo la Kusini

  • Print
Details
Published: 21 November 2021

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, leo tarehe 21 Novemba, 2021 ameongoza Ibada ya Kipaimara katika Usharika wa Mgwashwi, Jimbo la Kusini.

Imekuwa siku ya furaha na baraka tele kwa washarika wa Usharika wa Mgwashwi ambapo jumla ya vijana wapatao 140 walibarikiwa na wawili kati yao walibatizwa.

Baba Askofu Dkt. Msafiri Mbilu amewakumbusha vijana hao walio barikiwa kutokuondoka katika kweli ya neno la Mungu  na kamwe wasiyumbishwe na mafundisho potofu ya neno la Mungu yaliyo kisiri katika nyakati hizi.

Hits: 16708

Read more ...

Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs, Mch Michael Mlondakweli Kanju afungua Kongamano la Maombi na Maombezi

  • Print
Details
Published: 19 November 2021

Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Michael Mlondakweli Kanju ameupongeza uongozi wa kituo cha Redio Utume Fm  chini ya Kaimu  meneja wa kituo hicho Bi. Evelyne Balozi Mariki kwa kuendeleza  maono ya Dayosisi ya kueneza Injili kwa wote.

Hits: 15237

Read more ...

  1. Mratibu wa Mawasiliano wa KKKT, atembelea Makao Makuu ya KKKT-DKMs
  2. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Vuga Jimbo la Kusini
  3. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kana, Youths Confirmation at Kana Lutheran Parish
  4. TANZIA-

Page 98 of 137

  • 93
  • 94
  • ...
  • 96
  • 97
  • 98
  • 99
  • ...
  • 101
  • 102

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese