ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. TANGAZO LIMERUDIWA - RE- ADVERTISEMENT

  • Print
Details
Published: 24 August 2022

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki imepata kibali cha ajira 6 za Watumishi wa Kada za afya kwa ajili ya Hospitali na vituo vya afya.

Hits: 13297

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu ahesabiwa awasihi wana KKKT-DKMs kutoa taarifa sahihi

  • Print
Details
Published: 23 August 2022

 

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akizungumza na Karani wa Sensa ya Watu na Makazi wakati alipokuwa akihesabiwa na Karani wa Sensa ya Watu na Makazi  ndugu Lazaro Henry Mnyawamikatika makazi yake Chatllon Lushoto Tanga leo Tarehe 23 Agosti, 2022 ambapo zoezi hilo lilimhusisha yeye mwenyewe, mke wake, vijana wake pamoja na watu wote waliolala kwenye makazi hayo.

Hits: 12838

Read more ...

TANGAZO LA UDAHILI WA MUHULA MPYA WA MASOMO 2022/2023

  • Print
Details
Published: 22 August 2022

Uongozi wa Chuo cha Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga, kinacho milikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na  chenye Usajili wa NACTE kwa No. KOTETI/HAS/249 unatangaza nafasi ya masomo kwa muhula mpya wa SEPTEMBER-2022/2023 kwa kozi ya PHARMACY.

Hits: 14057

Read more ...

ASKOFU DKT. MSAFIRI MBILU: Msiyumbishwe na mafundisho potofu ya neno la Mungu.

  • Print
Details
Published: 21 August 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewataka Washarika wa Usharika wa Mikanjuni na Wakristo kwa ujumla kuepukana na mafundisho potofu ya neno la Mungu na badala yake kuendelea kumtegemea Mungu katika Maisha yao.

Askofu Dkt. Mbilu ametoa wito huo leo tarehe 21/08/2022 katika Ibada ya Jumapili iliyokuwa na tendo la kuwabariki vijana wa kipaimara wapatao 27 iliyofanyika katika Usharika wa Mikanjuni Jimbo la Pwani  ambapo amesema kwa siku za hivi karibuni  Wakristo wamekuwa wakiyumbishwa na kuvutwa na mafundisho ya uongo hivyo kuzitaka Sharika kuandaa Semina za ujasiriamali ili washarika wapate fulsa ya kujifunza namna bora ya kujikwamua kiuchumi.

Kwa upande wake Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs Mch. Michael Kanju ambaye ndiye aliye hubiri katika Ibada hiyo amewakumbusha washarika na wakristo kwa ujumla kutumia vyema nafasi zao kwa kutenda haki kwa kila mtu na kuishi maisha ya kumtegemea Mungu zaidi.

Hata hivyo Askofu Dkt. Mbilu ameendelea kuwakumbusha Washarika na watu wote kwa ujumla kujiandaa na zoezi la Sensa ya watu na makazi itakayo fanyika tarehe 23/08/2022 . Umuhimu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 ni pamoja na Kuisaidia Serikali kupata taarifa za msingi zitakazosaidia mchakato wa utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya mwaka 2025.

mageuzi ya masuala ya afya na jamii, pamoja na ufuatiliaji wa ajenda za maendeleo za kimataifa; Taarifa za idadi ya watu husaidia katika mamlaka za Wilaya katika utekelezaji wa mipango ya maendeleo ambayo huakisi matakwa ya watu katika ngazi husika na kusaidia kwenye uwiano wa mgawanyo wa rasilimali.

 

Hits: 14353
  1. Koteti yapata usajili sasa kuanza udahili
  2. Askofu Dkt. Mbilu awataka Wachungaji kusimama imara kukemea mafundisho potofu ya neno la Mungu.
  3. Askofu Dkt. Fedrick Shoo atoa rai juu ya Kiwanda cha Vuga Press
  4. Askofu Dkt. Shoo awaasa wanafunzi Shule ya Sekondari Lwandai

Page 74 of 137

  • 69
  • ...
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • ...
  • 76
  • 77
  • 78

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese