ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu Jijini Dar es salaam

  • Print
Details
Published: 05 September 2022

Leo tarehe 05/09/2022 Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amefanya ziara rasmi ya kikazi Jijini Dar es Salaam na amepata nafasi ya kufanya mazungumzo na Mzee Yusufu Makamba pamoaja na Canal Mstaafu Peter Sameji ambaye ni mjumbe wa Kamati ya wana KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, waishio Jijini Dar es Salaam. Lengo la ziara hii ni kwa ajili ya maendeleo ya Chuo cha Kolowa Technical Training Institute (KOTETI).

Hits: 13588

Read more ...

Pongezi kwa Washarika wa Usharika wa Shume Uchangiaji wa Deni la Dayosisi

  • Print
Details
Published: 04 September 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewashukuru Washarika wa Usharika wa Shume kwa mambo mengi na mazuri wanayoyafanya ya kuijenda Dayosisi na kipekee mchango mkubwa ambao wanaendelea kuutoa kwaajili ya uchangiaji wa Deni la Dayosisi.

Hits: 12897

Read more ...

Askofu Dkt. Msafiri Mbilu aongoza harambee ya ujenzi wa Kanisa

  • Print
Details
Published: 03 September 2022

"Pandeni milimani, Mkalete miti, mkaijenge nyumba; nami nitaifurahia, nami nitatukuzwa, asema Bwana".Hagai 1:8. Leo tarehe 03/09/2022 Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu  ameongoza   harambee ya ujenzi wa Kanisa katika Usharika wa Kabuku, Jimbo la Tambarare. Askofu Dkt. Msafiri Mbilu alianza harambee hiyo kwa   kutoa kiasi cha  Tsh. 200,000/= (LAKI MBILU). Baada ya harambee yote kufanyika kiasi cha Tshs. 17,695,000/= kilipatikana  Ikiwa ni fedha taslimu  Tshs. 14,695,000/ huku ahadi ikiwa  Tshs. 3,000,000/=

Hits: 12367

Read more ...

Mwili wa Mama Hilda Julius Lugendo wazikwa Wilayani Muheza

  • Print
Details
Published: 03 September 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akisaini kitabu cha maombolezo.

Naye atafuta kila chozi katika macho yao,wala mauti haitakuwepo tena,wala kilio,wala maumivu hayatakuwepo tena, kwa kuwa mambo ya kwanza , yamekwisha kupita UFUNUO 21:4.

Hits: 14346

Read more ...

  1. Benki ya CRDB yafungua rasmi tawi lake katika Wilaya ya  Lushoto
  2. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kisosora Youths Confirmation at Kisosora_Lutheran _Parish
  3. Katibu Mtendaji Fedha na Utawala wa UEM akutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa KKKT-DKMs
  4. Endeleeni kuchangia deni la Dayosisi Msirudi nyuma.

Page 72 of 137

  • 67
  • 68
  • 69
  • ...
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • ...
  • 76

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese