ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, Nchini Ujerumani

  • Print
Details
Published: 19 September 2022

Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu yupo ziarani Nchini Ujerumani yenye lengo la kuimarisha urafiki na amepata wasaa wa kutoa taarifa mbalimbali juu ya urafiki na hali ya Dayosisi kwa sasa katika sharika na vituo mbalimbali. Ziara hii ya Baba Askofu Dkt. Mbilu nchini Ujerumani inatoa fursa ya kukuza uhusiano na urafiki wa kihistoria kati ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki pamoja na marafiki waliopo nchini humo wenye urafiki na Sharika na Vituo vya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.


"Askofu Mbilu. nimekuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na marafiki zetu na baada ya hapo niliingia kwenye mazungumzo rasmi na kujikita zaidi katika kutafuta namna ya kuimarisha ushirikiano uliopo na mahusiano kati yetu na marafiki zetu waliopo hapa Ujerumani"-Askofu Dkt. Mbilu.

Hits: 12880

Read more ...

Siku ya baraka tele kwa washarika wa Usharika wa Malibwi Jimbo la Kaskazini.

  • Print
Details
Published: 18 September 2022

Leo tarehe 18/09/2022 Imekuwa siku ya baraka tele kwa washarika wa Usharika wa Malibwi Jimbo la Kaskazini ambapo vijana wa Kipaimara wapatao 106 walibarikiwa na wa 3 kati yao walibatizwa, Ibada iliongozwa na Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju katika

 Ibada iliyohudhuriwa na Wachungaji, Wainjilisti, Kwaya, Washarika pamoja na watu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Usharika wa Malibwi.

MKUU WA JIMBO LA KASKAZINI MCH: ANDERSON KIPANDE.

Awali kabla ya Ibada hiyo Msaidizi wa Askofu Mch. Michael  Kanju alizindua mnara wa Kengere na nyumba ya mtumishi katika Usharika huo wa Malibwi Mtaa wa Kwedeghe.

Msaidizi wa Askofu Mch. Michaele Kanju katika matukio hayo, amemuwakilisha Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ambaye yupo Nchini Ujerumani kwa ziara ya kikazi.

Aidha kufuatia kuitwa mbinguni  kwa Baba Mzazi wa Shemasi Rehema Mbura Mzee Solomoni Baraza  Msaidizi wa Askofu Mch. Michael Kanju amefika na kutoa pole kwa familia ya Marehemu Mzee Solomoni Baraza  .

Marehemu Mzee Solomoni Baraza aliitwa mbinguni tarehe 15/09/2022 na mwili wake utapumzishwa katika makaburi yaliyopo katika Mtaa wa Mshangai Mission Jumanne ya  tarehe 20/09/2022.

Ufunuo 14:13 “Nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema, Andika, Heri wafu wafao katika Bwana tangu sasa. Naam, asema Roho, wapate kupumzika baada ya taabu zao; kwa kuwa matendo yao yafuatana nao”.

Uongozi wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, unatoa pole katika kipindi hiki kigumu kwa familia  ya Marehemu Mzee Solomoni Baraza, ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo. BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA na lihimidiwe.

 

Hits: 13879

Mkutano wa Wachungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilitutheri Tanzania wafunguliwa Dodoma

  • Print
Details
Published: 11 September 2022

“lichungeni kundi la Mungu lililo kwenu, na kulisimamia, si kwa kulazimishwa, bali kwa hiari kama Mungu atakavyo; si kwa kutaka fedha ya aibu, bali kwa moyo.”
— 1 Petro 5:2

Hits: 13838

Read more ...

Tangazo la nafasi ya kazi Meneja wa Hoteli (Hotel Manager)

  • Print
Details
Published: 05 September 2022

KANISA LA KIINJILI LA KILUTHERI TANZANIA

DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI

S.L.P. 10 (SIMU 027 – 2660027 / FAX 027 -2660092) LUSHOTO TANGA TANZANIA

E-mail: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.

KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki   inapenda kutangaza nafasi ya kazi kama ilivyoainishwa.

NAFASI: Meneja wa Hoteli  (Nafasi moja 1)

Majukumu na wajibu wa Meneja wa kituo ni pamoja na:

Hits: 15451

Read more ...

  1. Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu Jijini Dar es salaam
  2. Pongezi kwa Washarika wa Usharika wa Shume Uchangiaji wa Deni la Dayosisi
  3. Askofu Dkt. Msafiri Mbilu aongoza harambee ya ujenzi wa Kanisa
  4. Mwili wa Mama Hilda Julius Lugendo wazikwa Wilayani Muheza

Page 71 of 137

  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • ...
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • ...

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese