ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Benki ya CRDB yafungua rasmi tawi lake katika Wilaya ya  Lushoto

  • Print
Details
Published: 29 August 2022

KATIKA PICHA: Ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Wilayani Lushoto uliofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Omary Tebweta Mgumba leo tarehe 29/08/2022. Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu alishiriki katika ufunguzi huo.Tawi hilo la Bank ya CRDB lipo katika jengo linalomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

MKUU WA MKOA WA TANGA MHE. OMARY TEBWETA MGUMBA akikata utepe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa Tawi la CRDB Lushoto.Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, akitoa salamu za Dayosisi na kufungua kwa maombi shughuli za ufunguzi wa Tawi la Benki ya CRDB Lushoto.

Hits: 13593

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kisosora Youths Confirmation at Kisosora_Lutheran _Parish

  • Print
Details
Published: 28 August 2022

KATIKA PICHA: Ibada ya Jumapili ya leo tarehe 28/08/2022 iliyofanyika katika Usharika wa Kisosora Jimbo la Pwani na kuongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.Ibada hiyo ilkuwa na tendo la kuwabariki vijana wa kipaimara kumi na moja (11) na wawili (2) kati yao walibatizwa.

Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akimbariki mmoja wa vijana waliopokea Kipaimara.

Hits: 12271

Read more ...

Katibu Mtendaji Fedha na Utawala wa UEM akutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 27 August 2022

Katibu Mtendaji Fedha na Utawala wa UEM ndugu Timo Pauler amekutana na kufanya mazungumzo na  uongozi wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.Ambapo pia alipata nafasi ya kutembelea baadhi ya Sharika na Vituo ndani ya Jimbo la Pwani.

 Katibu Mtendaji Fedha na Utawala wa UEM Ndugu Timo Pauler, akisaini kitabu cha wageni katika Usharika wa Mikanjuni Jimbo la Pwani.

Hits: 12048

Read more ...

Endeleeni kuchangia deni la Dayosisi Msirudi nyuma.

  • Print
Details
Published: 27 August 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewashukuru Washarika wa Usharika wa Kange Mtaa wa Maweni kwa namna wanavyo jitoa katika kazi za umoja.

Hits: 12738

Read more ...

  1. TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. TANGAZO LIMERUDIWA - RE- ADVERTISEMENT
  2. Askofu Dkt. Mbilu ahesabiwa awasihi wana KKKT-DKMs kutoa taarifa sahihi
  3. TANGAZO LA UDAHILI WA MUHULA MPYA WA MASOMO 2022/2023
  4. ASKOFU DKT. MSAFIRI MBILU: Msiyumbishwe na mafundisho potofu ya neno la Mungu.

Page 73 of 137

  • 68
  • 69
  • ...
  • 71
  • 72
  • 73
  • 74
  • ...
  • 76
  • 77

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese