ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Askofu Dkt. Mbilu aongoza Maombi ya kumshukuru Mungu kwaajili ya kufunguliwa kwa Chuo cha KOTETI

  • Print
Details
Published: 15 October 2022

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 15/10/2022 akiwa katika Jimbo la Kaskazini Usharika wa Kireti Mtaa wa Mp'anda, ameongoza maombi maalum ya kumshukuru Mungu kufuatia kufunguliwa kwa Chuo cha Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) kinacho milikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

Hits: 13903

Read more ...

Dayosisi  ya 27 ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania yazinduliwa

  • Print
Details
Published: 09 October 2022

Hits: 17822

Read more ...

Huduma ya Mch ,Emmanuel Mtoi kwa iliyokuwa Mision ya Kigoma

  • Print
Details
Published: 09 October 2022

 

Mch ,Emmanuel Mtoi ni mmoja wa wachungaji waliotumwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kutumika katika iliyokuwa Mision ya Kigoma (KKKT-Dayosisi ya Magharibi Sasa). alifika katika Usharika wa Kasulu mwaka 2002 Julai na kutumika kwa miaka 10 katika Usharika huo. Aliteuliwa kuwa Mkuu wa Misioni mwaka 2007 nafasi aliyoitumikia kwa miaka 11. alitumika katika Usharika wa Kigoma kwa miaka 7 tangu mwaka 2012 hadi 2018 Aprili na hapo ndipo aliporejea nyumbani KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (TANGA). Mchakato wa kuanzishwa kwa Dayosisi ulianzia mikononi mwake Mch. Mtoi. Wachungaji 6 walisoma na kubarikiwa mikononi mwake. Mch Majoh naye akibarikiwa mikononi mwake hata hivyo upanuzi wa Kanisa Kuu la Dayosisi ya Magharibi sasa ni kazi yake aliyoifanya kwa ushirikiano mkubwa na Wakristo ndugu jamaa na marafiki . Ujenzi wa Ofisi za Dayosisi sasa, ujenzi wa madarasa 2, Ofisi ya kituo,jiko na vyoo vya kisasa ni miongoni mwa kazi alizozifanya Mch. Mtoi. Mungu akubariki Sana.

Hits: 13613

Akasema, Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha Kut 33:14

  • Print
Details
Published: 09 October 2022

Uongozi wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki unakupongeza Baba Askofu Mch. Jackson Amala Mushendwa kwa kuwekwa wakfu na kuingizwa kazini kuiongoza KKKT-Dayosisi ya Magharibi.

Hits: 13142
  1. Mchango wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kuelekea uzinduzi wa Dayosisi ya Magharibi
  2. Wito watolewa kujiunga na Chuo cha Kolowa Technical Training Institute (KOTETI)
  3. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Hengiti ,, Youths Confirmation at Hengiti Lutheran Parish
  4. Mwendelezo wa Ziara ya kikazi ya Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu nchini Ujerumani

Page 69 of 137

  • 64
  • ...
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • ...
  • 71
  • 72
  • 73

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese