ELCT North Eastern Diocese
Ibada ya Jumapili Usharika wa Bumbuli Jimbo la Kusini
- Details

Askofu wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 26/09/2021, amejumuika na Washarika wa Usharika wa Bumbuli Jimbo la Kusini katika Ibada ya Jumapili, Ibada hiyo ilikuwa na matukio mbalimbali.
- Hits: 16924
Ibada ya Jumapili Usharika wa Soni Mtaa wa Kwang'wenda
- Details
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu leo tarehe 19/09/2021 ameongoza Ibada ya Jumapili katika Usharika wa Soni Mtaa wa Kwangwenda, Ibada hii ilikuwa na tukio la Uwekwaji wa jiwe la msingi la kanisa pamoja na harambee ya ujenzi wa Kanisa la mtaa wa kwang’wenda.

Katika harambee hio Jumla ya shilingi milioni kumi na moja hamsini na moja elfu na miatano hamsini (11,051,550) ilipatikana kwa ajili ya ujenzi wa Kanisa hilo lililowekewa jiwe la msingi.
- Hits: 15530
PICHA RASMI YA ASKOFU: Dkt. Msafiri Joseph Mbilu
- Details

Picha rasmi ya Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ,wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, nakala halisi iliyochapishwa Inapatika Makao Makuu ya KKKT-DKMs. Kwa mawasiliana wasiliana nasi kupitia This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it. au 0764105944/0655449481
Picha hii ndio itatumika katika Ofisi zote za Sharika za KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki
- Hits: 15887
Ibada ya Kipaimara Usharika wa Kisosora,Youths Confirmation at Kisosora Lutheran Parish.
- Details

Leo tarehe 12/09/2021 imekuwa siku ya baraka kwa washarika wa Usharika wa Kisosora Jimbo la Pwani. Ambapo imefanyika Ibada iliyokuwa na matukio mbalimbali vijana wapatao 19 wamepata kipaimara na wawili kati yao walibatizwa.
- Hits: 16493
Page 104 of 137

