ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mkuu wa KKKT Askofu Dkt. Fredrick Shoo afungua semina elekezi kwa wasaidizi wa Maaskofu

  • Print
Details
Published: 14 June 2022

Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Askofu Dkt. Fredrick Shoo leo tarehe 14/06/2022 amefungua semina elekezi kwa wasaidizi wa maaskofu inayofanyika makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Iringa.Maaskofu wapatao 27 wa Dayosisi za Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania wanahudhuria semina hiyo ya  siku nne juu ya kazi za Mission na Uinjilishaji kwenye mazingira ya sasa yeye utandawazi na upotoshaji wa mafundisho sahihi ya neno la Mungu ndani ya Kanisa.

Hits: 12609

Read more ...

Ibada ya Jumapili na Harambee ya ujenzi wa Kanisa

  • Print
Details
Published: 12 June 2022

 leo tarehe 12/06/2022 Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju  ameongoza  Ibada ya Jumapili na harambee ya ujenzi wa Kanisa la Mtaa wa Sakura ambao ni senta ya Usharika Mteule wa Ng'ambo ya Mto Pangani.

Hits: 17507

Read more ...

Askofu Dkt. Msafiri Mbilu awapongeza Wainjilisti wa KKKT-DKMs

  • Print
Details
Published: 12 June 2022

 

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amesema kuwa Wainjilisti ni jeshi kubwa katika Dayosisi, linalofanya kazi kubwa na nzuri inayoonekana kwa kuwafikia wana Dayosisi kwa ukaribu zaidi.

Askofu Dkt. Mbilu ameyasema hayo leo tarehe 12/06/2022 kwenye Ibada ya Jumapili na kilele cha juma la Uinjilisti katika Dayosisi  ambapo  Wainjilisiti wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki wapatao 211 wameshiriki kwenye Ibada hiyo iliyofanyika Kanisa Kuu Lushoto.

Hata hivyo Askofu Dkt. Mbilu hakusita kuwajulisha Wainjilisti na Wanadayosisi  kwa ujumla juu ya ujio wa Chuo cha Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) ambacho kipombioni kukamilisha usajili wake ili kuanza udahili katika mwaka huu wa masomo wa 2022/2023.

 Ikumbukwe kuwa Askofu Dkt. Mbilu alipata wasaa wa takribani siku nne ya kukaa na  Wainjilisti  wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwenye semina iliyokuwa  na lengo la kuwajengea uwezo Wainjilisti hao hasa katika nyakati hizi zilizo jaa mafundisho potofu ya neno la Mungu semina hiyo  ilifanyika   katika ukumbi wa mikutano wa  Benjamin Mkapa SEKOMU ambapo pia Baba Askofu Dkt Msafiri Mbilu alipata nafasi ya kuwasikiliza Wainjilisti hao juu ya changamoto wanazo zipata na kuahidi kuzitafutia ufumbuzi.

 

Hits: 15614

Habari Picha semina ya Wainjilisti

  • Print
Details
Published: 11 June 2022

KATIKA PICHA: Semina ya Wainjilisti wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na Askofu iliyokuwa inafanyika katika ukumbi wa mihadhara wa Benjamin William Mkapa (SEKOMU) ambapo leo tarehe 11/06/2022 semina hiyo  imefungwa rasmi na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, hapo kesho Wainjilisti hao wanatazamiwa kushiriki Ibada ya Jumapili Kanisa Kuu Lushoto.

Hits: 13816

Read more ...

  1. Askofu Dkt. Msafiri Mbilu aahidi kuboresha Maslahi kwa Wainjilisti
  2. Mch. Geoffrey  Mwakihaba awekwa wakfu na kusimikwa kuwa Askofu wa awamu ya Tano KKKT-Dayosisi ya Konde
  3. Pumzika kwa amani Bibi,Hilgati A. Kika
  4. Askofu Dkt. Mbilu -Tuendelee kupunguza deni la Dayosisi

Page 80 of 137

  • 75
  • 76
  • 77
  • 78
  • 79
  • 80
  • 81
  • 82
  • 83
  • 84

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese