ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Pumzika kwa amani Askofu Anthony M. Banzi-Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga.

  • Print
Details
Published: 29 December 2020

 

Askofu mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki  Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu akisaini kitabu cha wageni na kutoa rambirambi, wakati wa ibada ya kumuaga na mazishi ya Askofu Anthony M. Banzi wa Kanisa Katoliki Jimbo la Tanga. Leo Jumanne Desemba 29,2020.Hayati Askofu Antony Banzi aliaga Dunia Jumapili ya tarehe 20 Desemba 2020.BWANA alitoa, na BWANA ametwaa; jina la BWANA libarikiwe.

Hits: 19198

Read more ...

Salaam za Sikukuu ya Krismass, 2020 Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ASKOFU MTEULE – KKKT –DKMS

  • Print
Details
Published: 25 December 2020

Ndugu zangu wapendwa,

Ninawasalimu katika Jina la Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo!

SALAAM ZA SIKUKUU YA KRISMASS, 2020

Isaya 9:2 “Watu wale waliokwenda katika giza Wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru imewaangaza.”

Heri ya Krismas!

 Tunamshukuru Mungu Baba yetu wa Mbinguni aliyetujalia sisi sote kuiona Krismass ya mwaka huu 2020.

 Sikukuu ya Krismass, ni sikukuu kubwa inayosherehekewa na watu wengi Ulimwenguni pote. Siku hii ni sikukuu ambayo sisi Wakristo tunapokea zawadi kubwa kutoka kwa Mungu mwenyewe kwa kumtoa mwanawe mpendwa Yesu Kristo azaliwe katika ulimwengu huu kwa ajili ya ukombozi wetu.

Nabii Isaya alitoa unabii wake unaokaza ujio wa Nuru Kuu ulimwenguni, nuru itakayolishinda giza. Kwa vyovyote Nabii aliishi wakati ambao watu wamesongwa na giza nene lisiloweza kuepukika. Giza la kukandamizwa kiimani, kisiasa na kijamii. Katikati ya giza nene Isaya anakuja na ujumbe wa matumaini kuwa Nuru Kuu itakuja na itawaangaza wote. Kwa vyovyote ilikuwa vigumu kwa wasikilizaji wa Isaya kuamini kuwa hiyo nuru kuu itakuja lini. Jinsi walivyozungukwa na uvuli wa mauti ilikuwa vigumu kuamini ujio wa nuru hiyo.

Kwa kuja kwa Yesu Kristo ulimwenguni, unabii huu unatimia. Nuru kuu imeingia ulimwenguni, uvuli wa mauti umetokomezwa.

Hits: 18888

Read more ...

Merry Christmas and God’s blessings in the coming New Year 2021

  • Print
Details
Published: 24 December 2020

Hits: 1860

Read more ...

Mahafali ya kumi na moja katika Chuo kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (SEKOMU)

  • Print
Details
Published: 12 December 2020

Leo tarehe 12/12/2020 yamefanyika Mahafali ya kumi na moja katika Chuo kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (SEKOMU) ambapo Jumla ya wanafunzi 30 wamehitimu masomo yao kama ifuatavyo .Astashahada ya Tehama (Basic Technician Certificate in Computing, Information and Communication-Mhitimu 1.Shahada ya Awali ya Sayansi katika Afya ya Akili na Utengemao (BSc Mental Health and Rehabilitation) Wahitimu 24.Shahada ya Uzamili katika Elimu Maalumu (Master of Education in Special Education) Wahitimu 5.

Hits: 5618

Read more ...

  1. Heri ya maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Tanzania
  2. Mwendelezo wa Maadhimisho na Mafunzo ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia
  3. Ibada ya Kipaimara Usharika wa Handeni Jimbo la Tambarare
  4. Mkutano Mkuu wa 3 baada ya miaka 125 ya Injili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

Page 124 of 137

  • 119
  • ...
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • ...
  • 126
  • 127
  • 128

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese