ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

MWANGAZA Educational Center program Coordinators watembelea Ofisi za KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

  • Print
Details
Published: 10 March 2021

Mwangaza program coorinators leo tarehe 10/03/2021 wamepata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki lengo likiwa ni kutembelea shule za sekondari za Dayosisi.

Katika picha ni ,Mwl.John Kavishe wa kwanza kutoka kushoto,Mr.Richard Mbwambo wa pili kutoka Kushoto,Mch.Joyce Kibanga Mkurugenzi wa huduma za jamii wa tatu kutoka kushoto na Bi.Salome Lally wa nne kutoka kushoto. Kutoka kulia ni Bw. David Chanyeghea Kaimu Mkurugenzi Uchumi,Mipango na Maendeleo, Kaimu Katibu Mkuu Mch.Godfrey Walalaze wa pili kutoka kulia, Dean Mteule Mch. Michael Kanju wa tatu kutoka kulia na Askofu. mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu wa tano kutoka kulia.

Hits: 16087

KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki yafanya Uzinduzi wa Harambee kubwa yenye lengo la kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

  • Print
Details
Published: 07 March 2021

Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu amejumuika na Washarika wa Usharika wa Kana katika Ibada ya Jumapili ambapo Ibada hiyo pamoja na kuwa na matukio mbalimbali kumekuwa na Uzinduzi wa Harambee yenye lengo la kuchangisha jumla ya Sh 2,000,000,000 (Bilioni Mbili) ili kuimarisha Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.

Katika Hotuba yake  aliyoitoa  kwa mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe Martin Shigela, Askofu Mteule Mch.Dkt. Mbilu alisema  imekuwa siku ya furaha kubwa  kutembelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga ambapo alimkaribisha Mkuu huyo wa Mkoa katika Usharika wa Kana na Dayosisi kwa ujumla.

Askofu Mteule Mch.Dkt. Mbilu amesema kuwa katika kipindi cha takribani miaka 3 kumekuwa na changamoto kubwa ya Chuo kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU, kufungiwa udahili kutoka na matatizo mbalimbali ya kimfumo na yaki utendaji.Hata hivyo baada ya Uongozi mpya wa Dayosisi kuingia madarakani mwezi Novemba 2020 uongozi umejikita sana katika kuhakikisha  Chuo Kikuu cha SEKOMU kinasimama tena.

Hits: 18546

Read more ...

Ziari ya Askofu Mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu na Kaimu Katibu Mkuu Mission ya Kigoma

  • Print
Details
Published: 27 February 2021

Askofu Mteule Mch. Dkt. Msafiri J. Mbilu yupo ziarani katika Mission ya Kigoma ambapo ameshiriki katika kikao cha maandalizi ya Mission hiyo inayoandaliwa kuwa Dayosisi.

 Askofu Andrew Petrol Gulle na Katibu Mkuu Bw. Rigath Mille wa KKKT- Dayosisi Mashariki ya Ziwa Victoria na Askofu Dkt.Abednego N. Keshomshahara na Katibu Mkuu Mch. Elimerek Kigembe wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Magharibi pia wameshiriki katika kikao hicho.

Hits: 18160

Read more ...

Wahitimu wa mafunzo ya Muziki Kanisa Kuu Lushoto

  • Print
Details
Published: 21 February 2021

Wahitimu wa Muziki (Tarumbeta) wakiwa katika picha ya pamoja na mwalimu wao ndugu Michael Kivulenge wa kwanza kutoka kulia mara baada ya Ibada Kanisa Kuu Lushoto. Leo tarehe 21/02/2021

Hits: 16719
  1. Hatimaye mwili wa aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha SEKOMU Prof. Kihiyo waagwa rasmi.
  2. Pumzika kwa amani Prof. Vincent Kihiyo
  3. ANNOUNCEMENT OF THE CHANGES OF OUR DOMAIN NAME AND EMAIL ADDRESSES
  4. Mwl. Christopher Mwakasege atembelea Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

Page 119 of 137

  • 114
  • ...
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • ...
  • 121
  • 122
  • 123

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese