ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Heri ya maadhimisho ya miaka 59 ya Uhuru wa Tanzania

  • Print
Details
Published: 09 December 2020

Hits: 21355

Mwendelezo wa Maadhimisho na Mafunzo ya Kupinga Ukatili wa Kijinsia

  • Print
Details
Published: 04 December 2020

 Siku 16 za kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia zinaendelea katika mikoa yote Tanzania, ambapo leo tarehe 04/12/2020 Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) kwa kushirikiana  na Kituo cha Watoto Wenye Ulemavu wa Akili (Irente Rainbow School) wametoa elimu ya kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia katika Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga.

ulimwengu ukiwa katika siku 16 za kuhamasisha kupinga ukatili wa kijinsia hususani kwa wanawake na watoto.Baadhi ya watu wenye mahitaji maalumu wilayani Lushoto Mkoani Tanga wameomba kuwekewa mazingira yenye uhakika wa kupata elimu bora, hali itakayo pelekea ushiriki wao kuwa mkubwa katika ngazi za maamuzi na uzalishaji mali.

Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye semina iliyo jumuisha wazazi na walezi wenye watoto wenye mahitaji maalumu iliyoandaliwa na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) kwa kushirikiana na Kituo cha Watoto Wenye Ulemavu wa Akili (Irente Rainbow School) wameiomba serikali na wadau wakati huu kuwawekea mazingira rafiki ya wao kupata elimu ya darasani na ya ujuzi wa kujitegemea.

Hits: 3306

Read more ...

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Handeni Jimbo la Tambarare

  • Print
Details
Published: 29 November 2020

 

Leo tarehe 29/11/2020 imekuwa siku ya baraka kwa washarika wa Handeni Jimbo la Tambarare Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMS) ambapo  vijana wapatao 9 walipata kipaimara na mmoja kati yao alibatizwa.Ibada hiyo iliongozwa na Mch.William Karata na Mch.Ismail Ngoda.Ibada ilihudhuriwa na Wachungaji, Wainjilisti,Mashemasi,Kwaya,Washarika pamoja na watu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Usharika wa Handeni unao ongozwa na Mch Lewis F.Shemkala

Hits: 4377

Read more ...

Mkutano Mkuu wa 3 baada ya miaka 125 ya Injili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.

  • Print
Details
Published: 26 November 2020

Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMS) imefanya Mkutano Mkuu wa 3 baada ya miaka 125 ya Injili ulioanza tarehe 25-26/11/2020  ikumbukwe mkutano huu ulikuwa na ajenda kuu moja ya Uchaguzi wa Askofu  mpya wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki na viongozi wengine.

 Aliyekuwa Mwenyekiti wa kamati maalumu ya kuratibu shughuli za mkutano mkuu wa uchaguzi wa Askofu ni Askofu Mstaafu Dkt. Paulo Akyoo toka KKKT Dayosisi ya Meru ambaye baada ya uchaguzi alimtangaza Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu aliye chaguliwa na Wajumbe wa mkutano Mkuu kuwa Askofu mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa kupata kura 194  sawa na 89.4% .

Hits: 20637

Read more ...

  1. Wakuu wa Majimbo Wateule KKKT-DKMS
  2. Askofu Mteule na Dean Mteule wa KKKT-DKMS
  3. Ibada ya mazishi ya Mch. Yesaya M. Zahabu
  4. Pumzika kwa Amani Mch Yesaya Zahabu

Page 125 of 137

  • 120
  • 121
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • 127
  • 128
  • 129

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese