ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...
  • Contact Us

    Contact Us

    SOUTHERN SUPERINTENDENT BARUA PEPE JIMBO LA KUSINI southern.superintendent@elctned.org cathedral@elc...
  • Askofu Dkt. Mbilu afungua Kikao Kazi cha Tathmini ya Mwaka 2025

    Askofu Dkt. Mbilu afungua Kikao Kazi cha Tathmini ya Mwaka 2025

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Jos...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Tangazo la kazi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto

  • Print
Details
Published: 28 February 2025

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania . Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yenye Makao Makuu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga ni miongoni mwa Dayosisi 28 za KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri za kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu wote. Taasisi hii inatoa tangazo la kazi kwa nafasi moja  ya MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (PROJECT COORDINATOR) kwa vijana wote  (Wakristo) 

NAFASI NA WAJIBU WA MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (PROJECT COORDINATOR).

1.1 CHILD AND YOUTH DEVELOPMENT CENTER COORDINATOR (CYDC)- MRATIBU WA KITUO CHA MAENDELEO YA MTOTO NA KIJANA.

Hits: 7242

Read more ...

SUA NA KOTETI zaingia makubaliano kuboresha na kukuza taaluma na tafiti katika vyuo hivyo

  • Print
Details
Published: 13 February 2025
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs), Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ambaye pia ni msimamizi Mkuu wa mali za Dayosisi amesaini Mkataba wa Makubaliano (MoU) kati ya Chuo cha Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) kinacho milikiwa na KKKT-DKMs na Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), makubaliano yanayolenga kuboresha na kukuza taaluma na tafiti katika vyuo hivyo.
Hits: 7746

Read more ...

Mkutano wa Maaskofu wote wa CCT na TEC

  • Print
Details
Published: 11 February 2025

KATIKA PICHA:Mkutano wa Maaskofu wote wa CCT na TEC uliofanyika Jijini Dar Es Salaam kwenye kituo cha Baraza la Maaskofu Catholic Tanzania tarehe 11-12/02/2025. Huu ni Mkutano wa Kitaifa wa CSSC (Christian Social Services Commission) ambao ulikuwa na mada Kuu ya kutathmini na kuona jinsi ya kuwa na mpango endelevu wa utoaji huduma bora za Elimu na Afya zinazotolewa na Makanisa nchini (Sustaining the provision of Quality Education and Health Care Services by the Churches in Tanzania).Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ni mmoja wa maaskofu walioshiriki mkutano huu.

Hits: 7497

Read more ...

Wakristo watakiwa kutenga muda kutulia Nyumbani mwa Bwana

  • Print
Details
Published: 09 February 2025

 HABARI KWA UFUPI

Wakristo wamekumbushwa kuendelea kumtumaini na kumtegema Mungu pale wanapo pata mafanikio katika maisha yao kwani katika dunia ya sasa wapo waliofanikiwa na mara baada ya kupata mafanikio hayo wakamsahau Mungu na kufuata njia zao, na kuamini kuwa mafanikio hayo wameyapata kwa nguvu zao.

Hits: 7301

Read more ...

  1. Pumzika kwa Amani Bibi. Elise David Ngome
  2. Matokeo kidato cha nne Shule ya Lwandai na Bangala zafanya vizuri Askofu Dkt. Mbilu asema zimewapa raha wana KKKT-DKMS
  3. Uanzishwaji wa kozi ya muziki KOTETI maandalizi yanaendelea vizuri
  4. Kuelekea Ibada ya kuwekwa wakfu Askofu wa KKKT-Dayosisi Mashariki ya Ziwa Victoria (Mwanza)

Page 12 of 136

  • 7
  • 8
  • 9
  • ...
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • ...
  • 16

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese