ELCT North Eastern Diocese
Tangazo la kazi Mratibu wa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto
- Details
Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania . Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yenye Makao Makuu Wilayani Lushoto Mkoani Tanga ni miongoni mwa Dayosisi 28 za KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri za kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu wote. Taasisi hii inatoa tangazo la kazi kwa nafasi moja ya MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (PROJECT COORDINATOR) kwa vijana wote (Wakristo)
NAFASI NA WAJIBU WA MRATIBU WA HUDUMA YA MTOTO NA KIJANA (PROJECT COORDINATOR).
1.1 CHILD AND YOUTH DEVELOPMENT CENTER COORDINATOR (CYDC)- MRATIBU WA KITUO CHA MAENDELEO YA MTOTO NA KIJANA.
- Hits: 7242
SUA NA KOTETI zaingia makubaliano kuboresha na kukuza taaluma na tafiti katika vyuo hivyo
- Details

- Hits: 7746
Mkutano wa Maaskofu wote wa CCT na TEC
- Details

KATIKA PICHA:Mkutano wa Maaskofu wote wa CCT na TEC uliofanyika Jijini Dar Es Salaam kwenye kituo cha Baraza la Maaskofu Catholic Tanzania tarehe 11-12/02/2025. Huu ni Mkutano wa Kitaifa wa CSSC (Christian Social Services Commission) ambao ulikuwa na mada Kuu ya kutathmini na kuona jinsi ya kuwa na mpango endelevu wa utoaji huduma bora za Elimu na Afya zinazotolewa na Makanisa nchini (Sustaining the provision of Quality Education and Health Care Services by the Churches in Tanzania).Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, ni mmoja wa maaskofu walioshiriki mkutano huu.
- Hits: 7497
Wakristo watakiwa kutenga muda kutulia Nyumbani mwa Bwana
- Details
HABARI KWA UFUPI

Wakristo wamekumbushwa kuendelea kumtumaini na kumtegema Mungu pale wanapo pata mafanikio katika maisha yao kwani katika dunia ya sasa wapo waliofanikiwa na mara baada ya kupata mafanikio hayo wakamsahau Mungu na kufuata njia zao, na kuamini kuwa mafanikio hayo wameyapata kwa nguvu zao.
- Hits: 7301
Page 12 of 136

