ELCT North Eastern Diocese
Mch. Frank Richard Mntangi Dean Mteule KKKT-DKMs
- Details

Wajumbe 217 kati ya 246 wa Mkutano Mkuu wa tano (5) baada ya Jubilee ya miaka 125 ya Injili KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) sawa asilimia 88.5% wamemuidhinisha Mchungaji Frank Richard Mntangi kuwa Msaidizi wa Askofu (Dean Mteule) wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
Mch. Frank Mntangi ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Jimbo la Pwani, ameteuliwa kuhudumu nafasi hiyo ya msaidizi wa Askofu ambayo kwa sasa inaongozwa na Mch. Michael Mlondakweli Kanju anayestaafu kwa mujibu wa sheria za utumishi za KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki.
- Hits: 7068
Askofu Dkt. Mbilu ziarani Shule ya Sekondari Lwandai
- Details

- Hits: 7633
Pumzika kwa Amani Mama Askofu Elfriede Sebastian Kolowa
- Details
KATIKA PICHA:Mazishi ya Mama Askofu Elfriede Sebastian Kolowa iliyofanyika KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Usharika wa Kanisa Kuu Lushoto leo tarehe 06/03/2025. Ibada hii iliongozwa na Mkuu wa KKKT Baba Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa.Marehemu, Bibi Elfriede Sebastian Kolowa alizaliwa tarehe 30 mwezi Juni mwaka 1934 huko Bumbuli Salem Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga akiwa Mtoto wa 6 wa Mwalimu Emmanuel Chamshama na Bibi Sarah Shemshi.Mwili mwili wake umepumzishwa leo tarehe 06/03/2025 katika makaburi yaliyopo katika eneo la Kanisa Kuu Lushoto.Sehemu ya historia ya Bibi Elfriede Sebastian Kolowa inaeleza kuwa.

- Hits: 7623
Page 11 of 136


