ELCT North Eastern Diocese
KKKT-DKMs na maboresho ya Hospitali ya Kilutheri Bumbuli
- Details

KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, inayomiliki Hospitali ya Kilutheri Bumbuli (Bumbuli Lutheran Hospital) imeendelea kufanya maboresho katika Hospitali hiyo baada ya hivi karibuni kutoa mashine ya usingizi (Anesthesia Machine) pamoja na vifaa tiba vingine vya kisasa ambavyo vitasaidia kuendelea kuboresha huduma ya Afya Hospitalini hapo.
Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Huduma za Jamii wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mwl. Afizai Elisa Vuliva, wakati akikabidhi mashine hiyo kwa uongozi wa Hospitali ya Bumbuli huku akiwataka kutunza mashine hiyo pamoja na vifaa vingine vilivyo pelekwa hospitalini hapo kutoka kwa Shirika la GIZ.
- Hits: 6826
Askofu Dkt. Msafiri Mbilu, Ziarani Nchini Ujerumani
- Details

- Hits: 7034
Askofu Dkt. Mbilu, kuhusu zoezi linaloendelea la kuchukuwa maoni juu ya Katiba Mpya ya KKKT
- Details


- Hits: 8464
Dean Mstaafu Michael Kanju akabidhi rasmi majukumu ya ofisi ya Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs kwa Dean Mteule Frank Mntangi.
- Details

Dean Mteule Frank Richard Mntangi, ametambulishwa rasmi katika Makao Makuu ya Ofisi ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) yaliyopo Lushoto Tanga. Zoezi hili la utambulisho lililoongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu. Dean Mtangi amepokelewa na kutambulishwa kwa wakurugenzi pamoja na watumishi wa Ofisi Kuu.
- Hits: 8011
Page 10 of 136

