ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Bodi ya Taasisi ya Elimu KOTETI yazinduliwa rasmi kuendelea na majukumu yake.

  • Print
Details
Published: 08 February 2023
 
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amezindua rasmi Bodi ya Taasisi ya Elimu ya KOTETI chini ya mwenyekiti Profesa Joseph Kuzilwa,leo tarehe 8/02/2023.
  
Profesa Joseph Kuzilwa (Aliyesimama)
Sambamba na uzinduzi huo Askofu Dkt. Mbilu ameitaka Bodi hiyo kuifanya Taasisi ya Elimu ya KOTETI kuwa kituo chenye ubora, kuwa wabunifu na uthubutu wa kufanya mambo makubwa na kuhakikisha hakutokei anguko lolote kama ilivyokua kwa kilichokuwa Chuo Kikuu cha SEKOMU anguko lililopelekea Dayosisi kuingia kwenye madeni makubwa.
 
 
Hits: 16076

Nafasi ya kazi Afisa Ustawi wa Jamii

  • Print
Details
Published: 08 February 2023

 

UTANGULIZI

Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya Kilutheri yaliungana na kuunda Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT). Leo hii KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (KKKT-DKMs) ni miongoni mwa Dayosisi 27 ndani ya KKKT. Dayosisi inaitwa hivyo kwakuwa inapatikana Kaskazini Mashariki mwa Tanzania katika Mkoa wa Tanga. Kwahiyo KKKT-DKMs ni taasisi ya kidini iliyosajiliwa tarehe 19 Juni 1963 na Makao yake Makuu yapo Wilaya ya Lushoto Mkoa wa Tanga. Dhamira ya KKKT-DKMs ni kufundisha na kuhubiri neno la Mungu na kutoa huduma nzuri kiroho, kimwili, kiakili, kiuchumi na kijamii kwa watu. Taasisi hii inatoa tangazo la kazi kwa nafasi ifuatayo

  1. Afisa Ustawi wa Jamii
    Hits: 13339

    Read more ...

Msaidizi wa Askofu KKKT-DKMs afungua kikao cha wadau wa kutengeneza mtaala wa Diakonia

  • Print
Details
Published: 03 February 2023
 
Msaidizi wa Askofu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Michael Mlondakweli Kanju amefungua kikao cha wadau wa kutengeneza mtaala wa Diakonia, Ustawi wa Jamii na Speech ideology kilichofanyika katika ukumbi wa Benjamin Mkapa uliopa katika chuo cha Kolowa Technical Training Institute ( KOTETI) Magamba leo tarehe 3/02/2023.
Mtaala huu unategemewa kuwa moja wapo ya kozi zitakazo tolewa katika taasisi ya Elimu KOTETI. Mch. Kanju aliongeza kuwa Dayosisi  imebobea katika kutoa huduma za kijamii za Kidiakonia kwa kuwa na vituo vingi ambavyo vinawafikia watu wenye mahitaji maalum.
Hits: 11840

Read more ...

Nafasi za masomo kwa muhula mpya 2023-2024 Chuo cha Kolowa Technical Training Institute (KOTETI)

  • Print
Details
Published: 31 January 2023

Hits: 13931
  1. Askofu Dkt. Mbilu, awaasa wazazi na walezi kuwapeleka watoto wao shule
  2. TAARIFA KWA UMMA
  3. Tangazo la nafasi za kazi KKKT-DKMs
  4. Tangazo la nafasi ya kazi DAKTARI DARAJA LA II

Page 60 of 137

  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese