ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Mch. Emmanuel Mtoi atambulishwa Usharika wa Kana sasa kuliongoza Jimbo la Pwani.

  • Print
Details
Published: 15 January 2023

KUTOKA USHARIKA WA KANA TANGA: Leo tarehe 15/01/2023, Msaidizi wa Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch. Michael Mlondakweli Kanju ameongoza Ibada ya Jumapili  katika Jimbo la Pwani Usharika wa Kana.

Hits: 11417

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu afungua Kanisa na kuweka jiwe la msingi la Madarasa ya Watoto wa Shule ya Jumapili katika Usharika wa Magamba.

  • Print
Details
Published: 15 January 2023

 

Leo tarehe 15/01/2023 imekuwa siku ya   furaha na baraka tele kwa washarika wa Usharika wa Magamba ambapo, Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu  akiwa katika Jimbo la Kusini,ameongoza Ibada ya Jumapili iliyotanguliwa na  ufunguzi wa  Kanisa katika Usharika wa Magamba Mtaa wa Mabughai pamoja na uwekwaji wa jiwe la msingi katika madarasa ya Watoto wa Shule ya Jumapili (Sunday School) katika senta ya Usharika huo wa Magamba.

Hits: 11510

Read more ...

Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu aongoza Ibada ya mazishi ya Mch. Sabina Lumwe.

  • Print
Details
Published: 10 January 2023

 

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewataka waumini kuishi maisha yanayofaa na kumpendeza Mungu katika ulimwengu huu na kuacha mambo yasiyofaa  ili kuwa na mwisho mwema. Askofu Dkt. Mbilu ameyasema hayo kwenye Ibada  ya mazishi ya marehemu  Mch. Sabina Lumwe  na kusema kuwa marehemu Mch. Sabina lumwe alisimama vyema katika utumishi wake.

Hits: 13400

Read more ...

Pumzika kwa amani Mch. Sabina Lumwe

  • Print
Details
Published: 08 January 2023

Kristo anasema: "KILA ANIAMINIYE AJAPOKUFA ATAKUWA ANAISHI."

Askofu wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazani Mashariki Mch. Dkt Msafiri Joseph Mbilu ,anasikitika kutangaza kifo cha Mch. Sabina Lumwe  kilichotokea leo tarehe 08/01/2023 nyumbani kwake Lushoto. Ibada ya mazishi itafanyika siku ya jumanne ya tarehe 10/01/2023 Kanisa Kuu  (cathedral) Lushoto na itaanza saa 4:00 asubuhi.

Hits: 11765

Read more ...

  1. Ufunguzi wa kikao cha tathmini ya kazi za Dayosisi kwa mwaka 2022.
  2. Waziri wa Nishati atembelea Makao Makuu ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki 
  3. Salamu za mwaka mpya 2023, za Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu.
  4. Salamu za Sikukuu ya Krismasi, 2022 KKKT-DKMs

Page 62 of 137

  • 57
  • 58
  • 59
  • ...
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • ...
  • 66

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese