ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Ibada ya Kipaimara Usharika wa Muheza , Youths Confirmation at Muheza Lutheran Parish

  • Print
Details
Published: 15 October 2023

KATIKA PICHA: Ibada ya Jumapili ya tarehe 15/10/2023 kutoka Jimbo la Tambarare Usharika wa Muheza. Ibada hii iliongozwa na Baba Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ilikuwa na tendo la kuwabariki vijana wa Kipaimara. Pamoja na hayo Vijana hao waliobarikiwa wamemshukuru Mhashamu Baba Askofu Dkt. Msafiri Mbilu kwa kufundishwa neno la Mungu kwa kipindi cha miaka miwili huku wakitoa pongezi kwa kazi mbalimbali za maendeleo zinazofanyika ndani ya Dayosisi chini ya uongozi wa Baba Askofu Dkt. Mbilu.

Hits: 9896

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu afanya mazungumzo na kuagana  na wanafunzi wa Theologia

  • Print
Details
Published: 13 October 2023

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewapongeza nakuwatakia baraka za Mungu katika masomo yao wanafunzi wanaoenda masomoni kwa mhula mpya wa masomo na wale ambao wanaendelea na masomo katika Chuo cha Biblia na Theolojia Mwika pamoja na Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira.

Hits: 9314

Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu azindua Jimbo la 5 ndani ya KKKT-DKMs, amuingiza kazini Mkuu wa Jimbo pamoja na Katibu Mkuu wa Dayosisi.

  • Print
Details
Published: 08 October 2023

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu ameongoza Ibada iliyokuwa na tendo la kuzindua Jimbo la tano ndani ya KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,Ibada hiyo pia iliambatana na kuingizwa kazini kwa Mkuu wa Jimbo hilo Mch. Ishmael Reuben Ngoda pamoja na Katibu Mkuu wa Dayosisi Mwl. Julius Samwel Madiga .

Hits: 9789

Read more ...

Mabadiliko ya tabia ya Nchi  janga linaloikabili Dunia

  • Print
Details
Published: 05 October 2023

Hits: 9863

Read more ...

  1. Ishirini na tisa wabarikiwa Usharika wa Mkata waahidi kuilinda Imani
  2. Sehemu ya taarifa,picha za matukio na maelezo  ziara ya Baba Askofu Dkt. Msafiri  Mbilu nchini  Ujerumani.
  3. Tuungane kwa pamoja kulikabili deni la Dayosisi, Dean Michael Kanju.
  4. KATIKA PICHA, Mkutano Mkuu wa Fungamano la Makanisa ya Kilutheri Duniani uliomaliziki hivi karibuni.

Page 45 of 137

  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese