ELCT North Eastern Diocese
Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki asaini kitabu cha maombolezo.
- Details

Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amesaini kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga leo tarehe 22 Machi 2021.

- Hits: 16066
Salamu za Pole
- Details

......................................................................................................................

Jeneza lenye Mwili wa Aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Awamu ya tano Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ukiwa katika Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Oysterbay
- Hits: 18834
Matukio katika picha Mkutano Mkuu maalumu wa KKKT-DKMS
- Details


Mkutano Mkuu maalumu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki unaendelea kwa siku ya pili leo Machi 12, 2021 kwenye ukumbi wa Benjamini Mkapa katika Chuo cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa SEKOMU.
- Hits: 16533
Page 118 of 137


