ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

News & Updates

  • TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI MOJA YA KAZI MENEJA WA SHAMBA (FARM MANAGER) KITUO CHA IRENTE FARM

    TANGAZO LA NAFASI YA KAZI Tarehe 19 Juni 1963, Kanisa la Usambara - Digo na makanisa mengine sita ya...
  • Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji  NSSF

    Askofu Dkt.Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Uendeshaji NSSF

    Leo tarehe 01/04/2026, Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni kutoka Mfuko wa Taifa wa Hifa...
  • TAARIFA

    TAARIFA

    Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, u...
  • ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

    Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Jos...
  • Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

    Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na U...

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

Salamu za Pasaka,Askofu Mteule Mch.Dkt.Msafiri Joseph Mbilu KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,

  • Print
Details
Published: 04 April 2021

Malaika akajibu, akawaambia wale wanawake, Msiogope ninyi; kwa maana najua ya kuwa mnamtafuta Yesu aliyesulubiwa. Hayupo hapa; kwani amefufuka kama alivyosema (Mt. 28:5-6).

Wapendwa katika Bwana, kufufuka kwa Yesu ni tukio la imani kubwa kwetu sote tunaoamini juu ya nguvu ya ufufuo. Tukio hili linaondoa hofu inayotanda mioyoni mwa wengi juu ya kifo na nguvu ya mauti.

Tunasherehekea Pasaka wakati ambapo mioyo ya wengi imejawa na hofu kubwa ya magonjwa ya kutisha yanayosikika mahali pote duniani, misiba ya kutisha ya kuondokewa na wapendwa wetu. Haya yote yanatuletea mahangaiko na majonzi.

Katikati ya haya yote tunapokea ujumbe mkubwa wa matumaini Malaika anaposema “msiogope”.Tangazo hili la Malaika la kutuondolea hofu linaleta tumaini kubwa kwamba yupo mtangulizi ambaye ameshinda kifo na nguvu ya mauti. Yesu mfufuka analeta tumaini la kutokuogopa kifo na nguvu ya mauti kwetu tunaoamini. Kufufuka kwake hakujatokea kwa bahati mbaya bali ni mpango kamili wa Mungu katika historia ya ukombozi wetu sisi wanadamu. Hii ndiyo maana malaika anakiri akisema “amefufuka kama alivyosema”.

Tuitegemee nguvu ya Mungu iliyomfufua Yesu kuwa sasa tunaye mshindi aliyetutangulia na kwamba sisi sote tunaomwamini hatuna sababu ya hofu ya mauti kwani Bwana amefufuka kutoka kwa wafu.

Huyu Yesu aliyefufuka akaendelee kutujaza matumaini mapya, kwetu mmoja mmoja, matumaini katika familia zetu na jamii kwa ujumla.

 

....................................................................................

Hits: 16661

Hongera Mhe Dkt.Philip Isdor Mpango-Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

  • Print
Details
Published: 31 March 2021

Hits: 15480

Msaidizi wa Askofu KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Michael Mlondakweli Kanju afungua mkutano Mkuu wa umoja wa Wanawake wachungaji.

  • Print
Details
Published: 25 March 2021

Msaidizi wa Askofu Mteule wa KKKT- Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Mch.Michael Mlondakweli Kanju amewapongeza Wachungaji wanawake  wa Dayosisi ya Kaskazini Mashariki kwa umoja wao katika kusaidiana,Kuhamasishana, kutembeleana katika maeneo yao ya kazi pamoja na kuombeana, kwa kuwa ni wito  walioitiwa.

Hits: 2126

Read more ...

Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki (DKMs), kutembelea Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) tarehe 28/03/2021

  • Print
Details
Published: 23 March 2021

Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu pamoja na viongozi wengine wa Dayosisi watatembelea Dayosisi ya Mashariki na Pwani (DMP) tarehe 28/03/2021 ambapo watashiriki na kuongoza Ibada katika baadhi ya sharika za DMP.

Hits: 17143

Read more ...

  1. Askofu Mteule wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki asaini kitabu cha maombolezo.
  2. Hongera Mhe. Samia Suluhu Hassan
  3. Salamu za Pole
  4. Matukio katika picha Mkutano Mkuu maalumu wa KKKT-DKMS

Page 117 of 137

  • 112
  • 113
  • 114
  • ...
  • 116
  • 117
  • 118
  • 119
  • ...
  • 121

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese