ELCT North Eastern Diocese
TANZIA- Baba Mzazi wa Mchungaji William Karata wa Usharika wa Mtonga amefariki dunia
- Details

- Hits: 10302
Matukio katika picha.
- Details

- Hits: 10251
Askofu Dkt. Mbilu apokea ugeni kutoka Vyuo vitano ,vya Muhimbili(MUHAS),KCMC/KCMU,Chuo cha Kenyata
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amepokea ugeni maalum kutoka Vyuo vikuu vitano ambavyo ni, Muhimbili (MUHAS), KCMC/KCMU,Chuo cha Kenyata kilichopo Kenya,Chuo cha Protoria cha Africa ya Kusini na Chuo kikuu cha Leibniz kilichopo Hannover Ujerumani, uliokuja kwa lengo la kutembelea vituo mbalimbali vinavyomilikiwa na KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ili kuanzisha umoja wa Vyuo hivyo na Taasisi ya Kolowa Technical Training Institute (KOTETI) kwa madhumuni ya kuanzisha kozi ya lugha na mawasiliano ( Speech and language therapy).
- Hits: 11022
Askofu Dkt. Mbilu awataka wakristo kukemea matendo maovu yanayojitokeza katika jamii
- Details

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki Dkt. Msafiri Joseph Mbilu amewakumbusha Wakristo kukemea matendo maovu ambayo yanajitokeza katika jamii hususani mmomonyoko wa maadili katika jamii ikiwemo suala la mapenzi ya jinsia moja.
- Hits: 10448
Page 52 of 137

