ELCT North Eastern Diocese
Toggle Navigation
  • Home
  • Our Diocese
  • Wopa
  • Gallery
  • Institutions
    • Irente Children's Home
    • Irente School for the Blind
    • Rainbow School
    • Lwandai Secondary School
    • Lutindi Mental Hospital
    • Bangala Lutheran Junior Seminary
    • Bumbuli Hospital
    • SEKOMU university
    • Namna ya kuchangia kazi za maendeleo na Vituo vya kutoa huduma kwa watu wenye mahitaji maalumu (KKKT-DKMs)
  • Calendar
  • Projects
    • Irente Biodiversity Reserve
    • UTC - Usambara Technological Center
    • Restaurants and Hostels
      • Tumaini Mbuyukenda Hostel and Restaurant
      • Martin Luther Garden and Restaurant
      • Tumaini Songe Restaurant and Hostel
      • Hohen Restaurant and Hostel
      • Tumaini Lushoto Restaurant and Hostel
  • Superintendent
    • Coast Superintendent
    • Northern Superintendent
    • Southern Superintendent
    • Plains Superintendent
  • New-clips
  • Contact us
  • You are here:  
  • Home

Bishop Rev.Dr. Msafiri J. Mbilu

Change Language

English German Spanish Swahili Swedish

.



 

 

Staff Email

ELCT North Eastern Diocese

TAARIFA

  • Print
Details
Published: 10 March 2026

Uongozi wa KKKT – Dayosisi ya Kaskazini Mashariki ukiwakilishwa na Katibu Mkuu Mwl. Julius Madiga, umefanya hafla ndogo ya makabidhiano ya mradi wa maji (Mazi kwa Woshe) tarehe 10/03/2026 katika ofisi ya Afisa Tarafa-Mnazi.

Lengo kuu la hafla hiyo lilikuwa ni mkandarasi mjezi wa kampuni ya Ntama and faith company lmtd, kukabidhi rasmi mradi huo kwa Dayosisi, na baadaye Dayosisi kupitia Katibu Mkuu kukabidhi mradi kwa Wakala wa Usambazaji Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) pamoja na Kamati ya Maji ya UMBAWASO kwa ajili ya uendeshaji na usimamizi wake.

Hits: 2543

Read more ...

ASKOFU KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI MASHARIKI AZINDUA BODI YA MFUKO WA PENSION

  • Print
Details
Published: 04 March 2026

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki. Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, leo tarehe 04 Machi 2026, amezindua rasmi Bodi ya Mfuko wa Pension iliyochaguliwa na Halmashauri Kuu ya Dayosisi.

Hits: 2527

Read more ...

Taarifa Ziara ya Botswana kwenye Mkutano wa UEM Kanda ya Afrika

  • Print
Details
Published: 01 March 2026

Dayosisi yetu imepata heshima kubwa ya kushiriki katika Mkutano wa Kanda ya Afrika ulioandaliwa na United Evangelical Mission (UEM), uliofanyika katika mji wa Gaborone, nchini Botswana kuanzia tarehe 23 Februari hadi 1 Machi mwaka huu.

Katika mkutano huu muhimu dayosisi yetu  imewakilishwa na viongozi na wajumbe wafuatao:

  1. Askofu Dkt. Msafiri Joseph Mbilu

  2. Mch. Happiness Diu – Mjumbe wa Bodi ya UEM Afrika anayewakilisha wanawake

  3. Elvina Riziki – Mwakilishi kundi la  vijana

    Hits: 2398

    Read more ...

Askofu Dkt. Mbilu afungua Kikao Kazi cha Tathmini ya Mwaka 2025

  • Print
Details
Published: 12 February 2026

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, amefungua rasmi kikao cha tathmini kwa kazi zilizotekelezwa katika kipindi cha mwaka 2025.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao hicho kilichofanyika tarehe 12/02/2026 katika Hoteli ya Tumaini Mbuyukenda, Jijini Tanga, Askofu Dkt. Mbilu amesema kuwa lengo kuu la kikao hicho ni kuweka msingi imara kwa watumishi kutambua walipotoka, walipo na wanakoelekea katika utendaji wao wa kazi. Amesisitiza kuwa tathmini ni nyenzo muhimu katika kupima mafanikio, kubaini changamoto na kupanga mikakati madhubuti ya kuboresha utendaji kwa siku zijazo.

Hits: 2818

Read more ...

  1. Askofu Dkt. Mbilu akutana na kufanya mazungumzo na Helga Walter
  2. Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Halmashauri Kuu KKKT-DKMs
  3. Askofu Dkt. Mbilu aweka wakfu pikipiki rasmi kutumika Idara ya Mashamba
  4. Askofu Dkt. Mbilu Aongoza Kikao Kazi cha Wachungaji

Page 2 of 137

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • ...
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10

Back to Top

© 2026 ELCT North Eastern Diocese