
Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, anawatakia waumini na Watanzania wote kwa ujumla, heri na fanaka katika kuenzi kumbukizi ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.

Askofu wa KKKT-Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Mch Dkt. Msafiri Joseph Mbilu, anawatakia waumini na Watanzania wote kwa ujumla, heri na fanaka katika kuenzi kumbukizi ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania.